10 Lakini, ingawa iko hivyo, nimewaona waovu wakizikwa,+ jinsi walivyokuja na jinsi walivyokuwa wakiondoka mahali patakatifu+ na kusahaulika katika jiji walikotenda hivyo.+ Hilo pia ni ubatili.
18 “Kwa hiyo Yehova amesema hivi kumhusu Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, ‘Hawataomboleza kwa ajili yake: “Aa! ndugu yangu! Na Aa! dada yangu!” Hawataomboleza kwa ajili yake: “Aa! Ee bwana! Na Aa! heshima yake!”+