Esta 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa Wayahudi kukawa nuru na kushangilia+ na furaha na heshima. Methali 28:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Waadilifu wanaposhangilia,+ kuna uzuri mwingi; lakini waovu wanaposimama, mtu hujifanya asitambulike.+
12 Waadilifu wanaposhangilia,+ kuna uzuri mwingi; lakini waovu wanaposimama, mtu hujifanya asitambulike.+