17 katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa Adari; na kukawa na pumziko siku ya kumi na nne ya mwezi huo, nayo ikafanywa kuwa siku ya karamu+ na kushangilia.+
26 Na nuru ya mwezi mpevu itakuwa kama nuru ya jua linaloangaza; na ile nuru ya jua linaloangaza itaongezeka mara saba,+ kama nuru ya siku saba, siku ile Yehova atakapofunga mvunjiko+ wa watu wake na kuliponya+ jeraha kali linalotokana na pigo kutoka kwake.