Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa Adari; na kukawa na pumziko siku ya kumi na nne ya mwezi huo, nayo ikafanywa kuwa siku ya karamu+ na kushangilia.+

  • Zaburi 18:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa maana wewe mwenyewe utaiwasha taa yangu, Ee Yehova;+

      Mungu wangu atafanya giza langu liangaze.+

  • Zaburi 30:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa sababu kuwa chini ya hasira yake ni kwa muda kidogo tu,+

      Kuwa chini ya nia yake njema ni kwa muda wote wa maisha.+

      Huenda kilio kikakaa wakati wa jioni,+ lakini asubuhi kuna vigelegele vya shangwe.+

  • Zaburi 97:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nuru imemwangazia mwadilifu,+

      Na shangwe kwa ajili ya walio wanyoofu moyoni.+

  • Methali 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mji huchangamka kwa sababu ya wema wa waadilifu,+ lakini watu hulia kwa shangwe waovu wanapoangamia.+

  • Isaya 30:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na nuru ya mwezi mpevu itakuwa kama nuru ya jua linaloangaza; na ile nuru ya jua linaloangaza itaongezeka mara saba,+ kama nuru ya siku saba, siku ile Yehova atakapofunga mvunjiko+ wa watu wake na kuliponya+ jeraha kali linalotokana na pigo kutoka kwake.

  • Mika 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Usishangilie juu yangu, Ee mwanamke adui yangu.+ Ijapokuwa nimeanguka, nitasimama;+ ijapokuwa ninakaa gizani,+ Yehova atakuwa nuru kwangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki