12Na katika siku hiyo+ hakika wewe utasema: “Nitakushukuru, Ee Yehova, kwa maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako ilirudi nyuma mwishowe,+ nawe ukanifariji.+
8 Nilificha uso wangu kutoka kwako kwa muda kidogo kwa furiko la ghadhabu,+ lakini nitakuonyesha rehema kwa fadhili zenye upendo mpaka wakati usio na kipimo,”+ Mkombozi+ wako, Yehova, amesema.