Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+

  • Zaburi 30:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa sababu kuwa chini ya hasira yake ni kwa muda kidogo tu,+

      Kuwa chini ya nia yake njema ni kwa muda wote wa maisha.+

      Huenda kilio kikakaa wakati wa jioni,+ lakini asubuhi kuna vigelegele vya shangwe.+

  • Zaburi 85:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 85 Ee Yehova, umependezwa na nchi yako;+

      Umewarudisha wale waliochukuliwa mateka wa Yakobo.+

  • Isaya 66:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kama vile mtu ambaye mama yake mwenyewe anaendelea kumfariji, ndivyo mimi nitakavyoendelea kuwafariji ninyi;+ na kuhusiana na Yerusalemu ninyi mtafarijiwa.+

  • Hosea 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Njooni, turudi kwa Yehova,+ kwa maana yeye mwenyewe amerarua vipande-vipande,+ lakini atatuponya.+ Alizidi kupiga, lakini atatufunga kitambaa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki