Mathayo 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Shangilieni na kuruka kwa shangwe,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii+ waliokuwa kabla yenu. Waroma 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa sababu hiyo nahesabu kwamba mateso+ ya majira haya si kitu kwa kulinganisha na utukufu+ utakaofunuliwa ndani yetu.
12 Shangilieni na kuruka kwa shangwe,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii+ waliokuwa kabla yenu.
18 Kwa sababu hiyo nahesabu kwamba mateso+ ya majira haya si kitu kwa kulinganisha na utukufu+ utakaofunuliwa ndani yetu.