Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Utanisahau mpaka wakati gani, Ee Yehova?+ Milele?+

      Utanificha uso wako mpaka wakati gani?+

  • Isaya 47:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+ nami nikawatia mkononi mwako.+ Hukuwaonyesha rehema zozote.+ Uliifanya nira yako kuwa nzito sana juu ya mzee.+

  • Ezekieli 39:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nayo mataifa yatalazimika kujua kwamba ilikuwa kwa sababu ya kosa lao kwamba wao, nyumba ya Israeli, walienda uhamishoni,+ kwa sababu walijiendesha kwa kukosa uaminifu kunielekea mimi, hivi kwamba nikawaficha wao uso wangu+ na kuwatia mkononi mwa wapinzani wao, nao wakawa wakianguka, wote hao, kwa upanga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki