Kumbukumbu la Torati 31:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mimi nami, nitauficha kabisa uso wangu katika siku hiyo kwa sababu ya ubaya wote ambao wameutenda, kwa sababu wameigeukia miungu mingine.+ Zaburi 30:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ee Yehova, umeusimamisha mlima wangu katika nguvu kwa nia yako njema.+Uliuficha uso wako; nikawa na wasiwasi.+ Isaya 59:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hapana, bali makosa yenu ndiyo mambo yanayosababisha mgawanyiko kati yenu na Mungu wenu,+ na dhambi zenu zimesababisha kufichwa kwa uso wake kutoka kwenu ili asisikie.+
18 Mimi nami, nitauficha kabisa uso wangu katika siku hiyo kwa sababu ya ubaya wote ambao wameutenda, kwa sababu wameigeukia miungu mingine.+
7 Ee Yehova, umeusimamisha mlima wangu katika nguvu kwa nia yako njema.+Uliuficha uso wako; nikawa na wasiwasi.+
2 Hapana, bali makosa yenu ndiyo mambo yanayosababisha mgawanyiko kati yenu na Mungu wenu,+ na dhambi zenu zimesababisha kufichwa kwa uso wake kutoka kwenu ili asisikie.+