Isaya 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nitaendelea kumtarajia Yehova,+ ambaye anauficha uso wake kutoka kwa nyumba ya Yakobo,+ nami nitamtumaini yeye.+ Isaya 59:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hapana, bali makosa yenu ndiyo mambo yanayosababisha mgawanyiko kati yenu na Mungu wenu,+ na dhambi zenu zimesababisha kufichwa kwa uso wake kutoka kwenu ili asisikie.+
17 Nami nitaendelea kumtarajia Yehova,+ ambaye anauficha uso wake kutoka kwa nyumba ya Yakobo,+ nami nitamtumaini yeye.+
2 Hapana, bali makosa yenu ndiyo mambo yanayosababisha mgawanyiko kati yenu na Mungu wenu,+ na dhambi zenu zimesababisha kufichwa kwa uso wake kutoka kwenu ili asisikie.+