Zaburi 37:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+Naye atakuinua uimiliki dunia.+Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+ Zaburi 40:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nilimtumainia Yehova kwa bidii,+Kwa hiyo akanitegea sikio lake na kusikia kilio changu cha kuomba msaada.+ Zaburi 146:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,+Ambaye tumaini lake liko katika Yehova Mungu wake,+
34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+Naye atakuinua uimiliki dunia.+Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+
40 Nilimtumainia Yehova kwa bidii,+Kwa hiyo akanitegea sikio lake na kusikia kilio changu cha kuomba msaada.+
5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,+Ambaye tumaini lake liko katika Yehova Mungu wake,+