Ayubu 34:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yeye mwenyewe anaposababisha utulivu, ni nani, basi, anayeweza kulaumu?Na anapoficha uso wake,+ ni nani anayeweza kumwona,Iwe ni kuelekea taifa+ au ni kuelekea mwanadamu, yote yakiwa ni mamoja? Zaburi 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Yehova, kwa nini unaendelea kusimama mbali?+Kwa nini unaendelea kujificha nyakati za taabu?+ Zaburi 143:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ufanye haraka, unijibu, Ee Yehova.+Roho yangu imefikia mwisho.+Usiufiche uso wako mbali nami,+Kama sivyo nitakuwa kama wale wanaoshuka kuingia shimoni.+
29 Yeye mwenyewe anaposababisha utulivu, ni nani, basi, anayeweza kulaumu?Na anapoficha uso wake,+ ni nani anayeweza kumwona,Iwe ni kuelekea taifa+ au ni kuelekea mwanadamu, yote yakiwa ni mamoja?
7 Ufanye haraka, unijibu, Ee Yehova.+Roho yangu imefikia mwisho.+Usiufiche uso wako mbali nami,+Kama sivyo nitakuwa kama wale wanaoshuka kuingia shimoni.+