Zaburi 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+Kwa nini uko mbali usiniokoe,+Mbali na maneno ya mngurumo wangu?+ Yeremia 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ewe tumaini la Israeli,+ Mwokozi wake+ wakati wa taabu,+ kwa nini unakuwa kama mgeni katika nchi, na kama msafiri ambaye amegeuka kando ili alale usiku?+
22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+Kwa nini uko mbali usiniokoe,+Mbali na maneno ya mngurumo wangu?+
8 Ewe tumaini la Israeli,+ Mwokozi wake+ wakati wa taabu,+ kwa nini unakuwa kama mgeni katika nchi, na kama msafiri ambaye amegeuka kando ili alale usiku?+