Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,+ wale wote wanaokuacha watapatwa na aibu.+ Wale wanaoniasi+ wataandikwa katika mavumbi, kwa sababu wameiacha chemchemi ya maji yaliyo hai, Yehova.+

  • Yeremia 50:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wale wote wanaowapata wamewala,+ na adui zao wamesema,+ ‘Hatutakuwa na hatia,+ kwa sababu wamemtendea dhambi Yehova ambaye ni makao ya uadilifu,+ Yehova ambaye ni tumaini la mababu zao.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki