Yeremia 50:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wale wote wanaowapata wamewanyafua,+ na maadui wao wamesema, ‘Hatuna hatia, kwa sababu walimtendea dhambi Yehova, walimtendea dhambi Yehova ambaye ni makao ya uadilifu na tumaini la mababu zao.’”
7 Wale wote wanaowapata wamewanyafua,+ na maadui wao wamesema, ‘Hatuna hatia, kwa sababu walimtendea dhambi Yehova, walimtendea dhambi Yehova ambaye ni makao ya uadilifu na tumaini la mababu zao.’”