8 Ewe tumaini la Israeli,+ Mwokozi wake+ wakati wa taabu,+ kwa nini unakuwa kama mgeni katika nchi, na kama msafiri ambaye amegeuka kando ili alale usiku?+
13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,+ wale wote wanaokuacha watapatwa na aibu.+ Wale wanaoniasi+ wataandikwa katika mavumbi, kwa sababu wameiacha chemchemi ya maji yaliyo hai, Yehova.+