Zaburi 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda-dhambi,+Wala uhai wangu pamoja na watu wenye hatia ya damu,+ Waebrania 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika siku za mwili wake wenye nyama Kristo alitoa dua na pia maombi+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu+ na machozi, naye akasikiwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa+ Mungu.
9 Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda-dhambi,+Wala uhai wangu pamoja na watu wenye hatia ya damu,+
7 Katika siku za mwili wake wenye nyama Kristo alitoa dua na pia maombi+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu+ na machozi, naye akasikiwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa+ Mungu.