Zaburi 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana mbwa wamenizingira;+Kusanyiko la watenda-maovu limenizunguka.+Wako kwenye mikono yangu na miguu yangu kama simba.+ Zaburi 31:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mimi—nimekutegemea wewe, Ee Yehova.+Nimesema: “Wewe ni Mungu wangu.”+ Mathayo 27:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Karibu saa tisa Yesu akapaaza kilio kwa sauti kubwa, akisema: “Eli, Eli, lama sabakthani?” yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+ Marko 15:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na saa tisa Yesu akapaaza kilio kwa sauti kubwa: “Eli, Eli, lama sabakthani?” maneno ambayo yanapotafsiriwa humaanisha: “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+
16 Kwa maana mbwa wamenizingira;+Kusanyiko la watenda-maovu limenizunguka.+Wako kwenye mikono yangu na miguu yangu kama simba.+
46 Karibu saa tisa Yesu akapaaza kilio kwa sauti kubwa, akisema: “Eli, Eli, lama sabakthani?” yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+
34 Na saa tisa Yesu akapaaza kilio kwa sauti kubwa: “Eli, Eli, lama sabakthani?” maneno ambayo yanapotafsiriwa humaanisha: “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+