Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana mbwa wamenizingira;+

      Kusanyiko la watenda-maovu limenizunguka.+

      Wako kwenye mikono yangu na miguu yangu kama simba.+

  • Zaburi 31:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini mimi⁠—​nimekutegemea wewe, Ee Yehova.+

      Nimesema: “Wewe ni Mungu wangu.”+

  • Mathayo 27:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Karibu saa tisa Yesu akapaaza kilio kwa sauti kubwa, akisema: “Eli, Eli, lama sabakthani?” yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+

  • Marko 15:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na saa tisa Yesu akapaaza kilio kwa sauti kubwa: “Eli, Eli, lama sabakthani?” maneno ambayo yanapotafsiriwa humaanisha: “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki