-
Marko 15:34Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
34 Na kwenye saa ya tisa Yesu akapaaza kilio kwa sauti kubwa: “Eli, Eli, lama sabakthani?” ambayo humaanisha, yatafsiriwapo: “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniachilia mbali?”
-