Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+

      Kwa nini uko mbali usiweze kuniokoa,

      Mbali na vilio vyangu vya maumivu makali?+

  • Mathayo 27:46-49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Karibu saa tisa, Yesu akapaza sauti, akisema: “Eli, Eli, lama sabakthani?” yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+ 47 Waliposikia hilo, baadhi ya wale waliokuwa wamesimama hapo wakaanza kusema: “Mtu huyu anamwita Eliya.”+ 48 Mara moja, mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo akailowesha katika divai kali akaiweka kwenye utete akampa anywe.+ 49 Lakini wengine wakasema: “Mwacheni! Acheni tuone kama Eliya atakuja kumwokoa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki