Zaburi 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+ Kwa nini uko mbali usiweze kuniokoa,Mbali na vilio vyangu vya maumivu makali?+ Isaya 53:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini yalikuwa mapenzi ya Yehova* kumponda, naye aliruhusu awe mgonjwa. Ukitoa uhai wake* uwe dhabihu ya hatia,+Atauona uzao wake,* ataongeza siku zake,+Na kupitia kwake mapenzi* ya Yehova yatafanikiwa.+ Marko 15:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na saa tisa Yesu akapaza sauti: “Eli, Eli, lama sabakthani?” maneno hayo yanapotafsiriwa yanamaanisha, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+
22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+ Kwa nini uko mbali usiweze kuniokoa,Mbali na vilio vyangu vya maumivu makali?+
10 Lakini yalikuwa mapenzi ya Yehova* kumponda, naye aliruhusu awe mgonjwa. Ukitoa uhai wake* uwe dhabihu ya hatia,+Atauona uzao wake,* ataongeza siku zake,+Na kupitia kwake mapenzi* ya Yehova yatafanikiwa.+
34 Na saa tisa Yesu akapaza sauti: “Eli, Eli, lama sabakthani?” maneno hayo yanapotafsiriwa yanamaanisha, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+