11 “Haruni atamtoa yule ng’ombe dume wa dhabihu ya dhambi, ambaye anatolewa kwa ajili yake mwenyewe, na kutoa dhabihu ya kufunika dhambi zake mwenyewe na za nyumba yake; kisha atamchinja ng’ombe dume huyo wa dhabihu ya dhambi, anayetolewa kwa ajili yake mwenyewe.+