Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Haruni atamtoa yule ng’ombe dume wa dhabihu ya dhambi, ambaye anatolewa kwa ajili yake mwenyewe, na kutoa dhabihu ya kufunika dhambi zake mwenyewe na za nyumba yake; kisha atamchinja ng’ombe dume huyo wa dhabihu ya dhambi, anayetolewa kwa ajili yake mwenyewe.+

  • 2 Wakorintho 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yule ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi* kwa ajili yetu, ili kupitia yeye tuwe uadilifu wa Mungu.+

  • Waebrania 7:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Tofauti na makuhani hao wakuu, hahitaji kutoa dhabihu kila siku,+ kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe kisha kwa ajili ya dhambi za watu,+ kwa sababu alifanya hivyo mara moja kwa wakati wote alipojitoa mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki