15 Kwa maana hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kuusikitikia udhaifu wetu,+ bali tuna yule ambaye amejaribiwa katika mambo yote kama tulivyojaribiwa, lakini hakutenda dhambi.+
26 Kwa maana inafaa tuwe na kuhani mkuu kama huyo ambaye ni mshikamanifu, asiye na hatia, asiye na unajisi,+ aliyetenganishwa na watenda dhambi, na aliyeinuliwa juu ya mbingu.+