Waebrania 7:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana inafaa tuwe na kuhani mkuu kama huyo ambaye ni mshikamanifu, asiye na hatia, asiye na unajisi,+ aliyetenganishwa na watenda dhambi, na aliyeinuliwa juu ya mbingu.+ 1 Petro 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye hakufanya dhambi,+ wala udanganyifu haukupatikana kinywani mwake.+
26 Kwa maana inafaa tuwe na kuhani mkuu kama huyo ambaye ni mshikamanifu, asiye na hatia, asiye na unajisi,+ aliyetenganishwa na watenda dhambi, na aliyeinuliwa juu ya mbingu.+