Zaburi 69:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini walinipa sumu* kuwa chakula,+Na wakanipa siki ninywe ili nikate kiu.+ Luka 23:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Hata wale wanajeshi wakamdhihaki, wakamkaribia na kumpa divai kali+ Yohana 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hapo palikuwa na chombo kilichojaa divai kali. Basi wakaweka sifongo iliyojaa divai kali juu ya kijiti cha hisopo* na kukileta karibu na mdomo wake.+
29 Hapo palikuwa na chombo kilichojaa divai kali. Basi wakaweka sifongo iliyojaa divai kali juu ya kijiti cha hisopo* na kukileta karibu na mdomo wake.+