35 Na baadhi ya wale waliokuwa wamesimama karibu walipomsikia wakaanza kusema: “Sikia! Anamwita Eliya.” 36 Kisha mtu fulani akakimbia, akalowesha sifongo katika divai kali, akaiweka kwenye utete, akampa anywe,+ akisema: “Mwacheni! Acheni tuone kama Eliya atakuja kumshusha.”