34 Na saa tisa Yesu akapaza sauti: “Eli, Eli, lama sabakthani?” maneno hayo yanapotafsiriwa yanamaanisha, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+
34 Na saa tisa Yesu akapaaza kilio kwa sauti kubwa: “Eli, Eli, lama sabakthani?” maneno ambayo yanapotafsiriwa humaanisha: “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+