Zaburi 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+Kwa nini uko mbali usiniokoe,+Mbali na maneno ya mngurumo wangu?+ Mathayo 27:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Karibu saa tisa Yesu akapaaza kilio kwa sauti kubwa, akisema: “Eli, Eli, lama sabakthani?” yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+
22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+Kwa nini uko mbali usiniokoe,+Mbali na maneno ya mngurumo wangu?+
46 Karibu saa tisa Yesu akapaaza kilio kwa sauti kubwa, akisema: “Eli, Eli, lama sabakthani?” yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+