Zaburi 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Unitazame; unijibu, Ee Yehova Mungu wangu.Uyafanye macho yangu yang’ae,+ ili nisilale usingizi katika kifo.+ Zaburi 40:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ee Yehova, upendezwe na kunikomboa.+Ee Yehova, ufanye haraka kuja kunisaidia.+ Zaburi 70:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Ee Mungu, uchukue hatua haraka kwa ajili yangu.+Wewe ndiye msaada wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Yehova, usichelewe mno.+
3 Unitazame; unijibu, Ee Yehova Mungu wangu.Uyafanye macho yangu yang’ae,+ ili nisilale usingizi katika kifo.+ Zaburi 40:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ee Yehova, upendezwe na kunikomboa.+Ee Yehova, ufanye haraka kuja kunisaidia.+ Zaburi 70:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Ee Mungu, uchukue hatua haraka kwa ajili yangu.+Wewe ndiye msaada wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Yehova, usichelewe mno.+
5 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Ee Mungu, uchukue hatua haraka kwa ajili yangu.+Wewe ndiye msaada wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Yehova, usichelewe mno.+