17 Yehova, Mkombozi wako,+ Mtakatifu wa Israeli,+ amesema hivi: “Mimi, Yehova, ni Mungu wako, Yeye anayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,+ Yeye anayekufanya uende katika njia unayopaswa kutembea ndani yake.+
26 Nami nitawafanya wale wanaokutendea vibaya waile nyama yao; nao watalewa kwa damu yao kana kwamba ni kwa divai tamu. Na wanadamu wote watajua kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako na Mkombozi+ wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+