Zaburi 37:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ijapokuwa huenda akaanguka, yeye hatatupwa chini,+Kwa maana Yehova anautegemeza mkono wake.+ Methali 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana huenda mwadilifu akaanguka hata mara saba, naye hakika atasimama;+ lakini waovu watakwazwa na msiba.+
16 Kwa maana huenda mwadilifu akaanguka hata mara saba, naye hakika atasimama;+ lakini waovu watakwazwa na msiba.+