Zaburi 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwadilifu ana misiba mingi,+Lakini Yehova humkomboa kutoka katika yote hiyo.+ 2 Wakorintho 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kutoka katika kitu kikubwa sana kama kifo alituokoa naye atatuokoa;+ na tumaini letu limo katika yeye kwamba atatuokoa zaidi pia.+
10 Kutoka katika kitu kikubwa sana kama kifo alituokoa naye atatuokoa;+ na tumaini letu limo katika yeye kwamba atatuokoa zaidi pia.+