Methali 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana huenda mwadilifu akaanguka hata mara saba, naye hakika atasimama;+ lakini waovu watakwazwa na msiba.+ Matendo 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 wakizitia nguvu nafsi za wanafunzi,+ wakiwatia moyo kubaki katika imani na kusema: “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+ 2 Timotheo 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+
16 Kwa maana huenda mwadilifu akaanguka hata mara saba, naye hakika atasimama;+ lakini waovu watakwazwa na msiba.+
22 wakizitia nguvu nafsi za wanafunzi,+ wakiwatia moyo kubaki katika imani na kusema: “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+
12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+