Zaburi 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwadilifu ana misiba mingi,+Lakini Yehova humkomboa kutoka katika yote hiyo.+ Zaburi 145:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova anawategemeza wote wanaoanguka,+naye anawainua wote ambao wameinama chini.+ Methali 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana huenda mwadilifu akaanguka hata mara saba, naye hakika atasimama;+ lakini waovu watakwazwa na msiba.+
16 Kwa maana huenda mwadilifu akaanguka hata mara saba, naye hakika atasimama;+ lakini waovu watakwazwa na msiba.+