Esta 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa Wayahudi kukawa nuru na kushangilia+ na furaha na heshima. Zaburi 58:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi.+Ataosha miguu yake katika damu ya mwovu.+