Zaburi 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+ Methali 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Siku zote za mwenye kuteseka ni mbaya,+ lakini mtu aliye mchangamfu moyoni huwa na karamu sikuzote.+
11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+
15 Siku zote za mwenye kuteseka ni mbaya,+ lakini mtu aliye mchangamfu moyoni huwa na karamu sikuzote.+