Kumbukumbu la Torati 28:67 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Wakati wa asubuhi utasema, ‘Laiti ingekuwa jioni!’ na jioni utasema, ‘Laiti ingekuwa asubuhi!’ kwa sababu ya hofu ya moyo wako, hofu ambayo utakuwa nayo na kwa sababu ya kuona kwa macho yako mambo ambayo utayaona.+ Ayubu 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa nini sikufa tokea tumbo la uzazi?+Kwa nini sikutoka tumboni kisha nikate pumzi?
67 Wakati wa asubuhi utasema, ‘Laiti ingekuwa jioni!’ na jioni utasema, ‘Laiti ingekuwa asubuhi!’ kwa sababu ya hofu ya moyo wako, hofu ambayo utakuwa nayo na kwa sababu ya kuona kwa macho yako mambo ambayo utayaona.+