10 Ole wangu,+ Ee mama yangu, kwa sababu umenizaa mimi, mtu wa ugomvi na mtu wa kuzozana na dunia yote.+ Sikutoa mkopo, nao hawakunipa mkopo. Wote wananilaani.+
17 Kwa nini kwa hakika hakuniua ndani ya tumbo la uzazi, ili mama yangu awe kaburi langu na tumbo lake la uzazi liwe na mimba mpaka wakati usio na kipimo?+