Ayubu 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ilikuwa baada ya hayo kwamba Ayubu akafungua kinywa chake, akaanza kuilaani siku yake.+ Yeremia 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na ilaaniwe ile siku nilipozaliwa! Isibarikiwe ile siku ambayo mama yangu alinizaa!+