Ayubu 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Na iangamie ile siku niliyozaliwa,+Pia ule usiku ambao mtu alisema, ‘Mwanamume amechukuliwa mimba!’ Yeremia 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ole wangu,+ Ee mama yangu, kwa sababu umenizaa mimi, mtu wa ugomvi na mtu wa kuzozana na dunia yote.+ Sikutoa mkopo, nao hawakunipa mkopo. Wote wananilaani.+
3 “Na iangamie ile siku niliyozaliwa,+Pia ule usiku ambao mtu alisema, ‘Mwanamume amechukuliwa mimba!’
10 Ole wangu,+ Ee mama yangu, kwa sababu umenizaa mimi, mtu wa ugomvi na mtu wa kuzozana na dunia yote.+ Sikutoa mkopo, nao hawakunipa mkopo. Wote wananilaani.+