Zaburi 109:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wao na watangaze laana,+Lakini wewe utangaze baraka.+Wamesimama, lakini acha waone aibu,+Na mtumishi wako na ashangilie.+ Methali 26:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kama ndege alivyo na sababu ya kukimbia na mbayuwayu alivyo na sababu ya kuruka, hivyo laana haiji bila sababu halisi.+
28 Wao na watangaze laana,+Lakini wewe utangaze baraka.+Wamesimama, lakini acha waone aibu,+Na mtumishi wako na ashangilie.+
2 Kama ndege alivyo na sababu ya kukimbia na mbayuwayu alivyo na sababu ya kuruka, hivyo laana haiji bila sababu halisi.+