Matendo 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini karibu na katikati ya usiku+ Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumsifu Mungu kwa wimbo;+ ndiyo, wafungwa walikuwa wakiwasikia. 1 Petro 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kinyume chake, endeleeni kushangilia+ kwa maana ninyi ni washiriki katika mateso ya Kristo,+ ili mshangilie na kuwa na shangwe sana pia wakati wa ufunuo+ wa utukufu wake.
25 Lakini karibu na katikati ya usiku+ Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumsifu Mungu kwa wimbo;+ ndiyo, wafungwa walikuwa wakiwasikia.
13 Kinyume chake, endeleeni kushangilia+ kwa maana ninyi ni washiriki katika mateso ya Kristo,+ ili mshangilie na kuwa na shangwe sana pia wakati wa ufunuo+ wa utukufu wake.