Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa Wayahudi kukawa nuru na kushangilia+ na furaha na heshima.

  • Ayubu 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nawe utafanya uamuzi kuhusu jambo fulani, nalo litasimama kwako;

      Na hakika nuru itaziangaza njia zako.+

  • Zaburi 112:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ameangaza katika giza kama nuru kwa walio wanyoofu.+

      ח [Chehth]

      Yeye ni mwenye neema na mwenye rehema na mwadilifu.+

  • Methali 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini njia ya waadilifu ni kama nuru inayong’aa, inayozidi kuongezeka mpaka mchana mkamilifu.+

  • Isaya 30:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na nuru ya mwezi mpevu itakuwa kama nuru ya jua linaloangaza; na ile nuru ya jua linaloangaza itaongezeka mara saba,+ kama nuru ya siku saba, siku ile Yehova atakapofunga mvunjiko+ wa watu wake na kuliponya+ jeraha kali linalotokana na pigo kutoka kwake.

  • Mika 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ghadhabu ya Yehova nitaivumilia​—​kwa maana nimemtendea dhambi+​—​mpaka atakapoendesha kesi yangu na kutekeleza haki kwa ajili yangu.+ Atanileta kwenye nuru; nitautazama uadilifu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki