Maombolezo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova ni mwadilifu,+ kwa maana nimekiasi kinywa chake.+Sikilizeni sasa, enyi nyote vikundi vya watu, na mwone maumivu yangu.Mabikira wangu na vijana wangu wameenda utekwani.+ Luka 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nitaondoka nifunge safari+ kwenda kwa baba yangu na kumwambia: “Baba nimetenda dhambi juu ya mbingu na juu yako wewe.+
18 Yehova ni mwadilifu,+ kwa maana nimekiasi kinywa chake.+Sikilizeni sasa, enyi nyote vikundi vya watu, na mwone maumivu yangu.Mabikira wangu na vijana wangu wameenda utekwani.+
18 Nitaondoka nifunge safari+ kwenda kwa baba yangu na kumwambia: “Baba nimetenda dhambi juu ya mbingu na juu yako wewe.+