Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mkimwogopa+ Yehova na kumtumikia+ na kuitii sauti yake+ kwelikweli, nanyi msipoliasi+ agizo la Yehova, ninyi pamoja na mfalme atakayetawala juu yenu mtakuwa wafuasi wa Yehova, Mungu wenu.

  • 1 Samweli 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova,+ na ikiwa kwelikweli mtaliasi agizo la Yehova,+ hakika mkono wa Yehova utakuwa kinyume chenu na baba zenu.+

  • Zaburi 107:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana waliyaasi+ maneno ya Mungu;+

      Na shauri la Aliye Juu Zaidi hawakuwa wameliheshimu.+

  • Isaya 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sikieni,+ enyi mbingu, utege sikio, Ee dunia, kwa maana Yehova mwenyewe amesema: “Nimelea na kukuza wana,+ lakini wao wenyewe wameniasi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki