2 Mambo ya Nyakati 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Yehova akaendelea kusema na Manase na watu wake, lakini hawakusikiliza.+ Zaburi 73:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Utaniongoza kwa shauri lako,+Na baadaye utanipeleka kwenye utukufu.+ Methali 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nanyi mnazidi kupuuza mashauri yangu yote,+ wala hamkukubali karipio langu.+ Luka 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi mwingi wa Sheria walilipuuza shauri+ la Mungu kwao, kwa kuwa hakuwa amewabatiza.)
30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi mwingi wa Sheria walilipuuza shauri+ la Mungu kwao, kwa kuwa hakuwa amewabatiza.)