Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Atawafanya wapole watembee katika uamuzi wake wa hukumu,+

      Naye atawafundisha wapole njia yake.+

  • Zaburi 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 “Nitakufanya uwe na ufahamu na kukufundisha katika njia unayopaswa kuiendea.+

      Nitakupa shauri jicho langu likiwa linakutazama.+

  • Zaburi 37:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Hatua za mwanamume zimetayarishwa na Yehova,+

      Na Yeye hupendezwa na njia yake.+

  • Zaburi 143:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Unifundishe kufanya mapenzi yako,+

      Kwa maana wewe ni Mungu wangu.+

      Roho yako ni nzuri;+

      Na iniongoze katika nchi ya unyoofu.+

  • Methali 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mtambue yeye katika njia zako zote,+ naye atanyoosha mapito yako.+

  • Isaya 58:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Kama ingekuwa hivyo nuru yako ingetokea kama mapambazuko;+ na kupona kungetokea haraka kwa ajili yako.+ Na uadilifu wako hakika ungetembea mbele yako;+ utukufu wa Yehova ungekuwa ulinzi wako wa nyuma.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki