Zaburi 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Atawafanya wapole watembee katika uamuzi wake wa hukumu,+Naye atawafundisha wapole njia yake.+ Zaburi 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Nitakufanya uwe na ufahamu na kukufundisha katika njia unayopaswa kuiendea.+Nitakupa shauri jicho langu likiwa linakutazama.+ Zaburi 37:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hatua za mwanamume zimetayarishwa na Yehova,+Na Yeye hupendezwa na njia yake.+ Zaburi 143:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Unifundishe kufanya mapenzi yako,+Kwa maana wewe ni Mungu wangu.+Roho yako ni nzuri;+Na iniongoze katika nchi ya unyoofu.+ Methali 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtambue yeye katika njia zako zote,+ naye atanyoosha mapito yako.+ Isaya 58:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Kama ingekuwa hivyo nuru yako ingetokea kama mapambazuko;+ na kupona kungetokea haraka kwa ajili yako.+ Na uadilifu wako hakika ungetembea mbele yako;+ utukufu wa Yehova ungekuwa ulinzi wako wa nyuma.+
8 “Nitakufanya uwe na ufahamu na kukufundisha katika njia unayopaswa kuiendea.+Nitakupa shauri jicho langu likiwa linakutazama.+
10 Unifundishe kufanya mapenzi yako,+Kwa maana wewe ni Mungu wangu.+Roho yako ni nzuri;+Na iniongoze katika nchi ya unyoofu.+
8 “Kama ingekuwa hivyo nuru yako ingetokea kama mapambazuko;+ na kupona kungetokea haraka kwa ajili yako.+ Na uadilifu wako hakika ungetembea mbele yako;+ utukufu wa Yehova ungekuwa ulinzi wako wa nyuma.+