Zaburi 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Unifundishe njia yako, Ee Yehova,+Na uniongoze katika njia ya unyoofu kwa sababu ya adui zangu. Isaya 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata mwovu akionyeshwa kibali, yeye hatajifunza uadilifu.+ Atatenda isivyo haki katika nchi ya unyoofu,+ naye hatauona ukuu wa Yehova.+
10 Hata mwovu akionyeshwa kibali, yeye hatajifunza uadilifu.+ Atatenda isivyo haki katika nchi ya unyoofu,+ naye hatauona ukuu wa Yehova.+