Kutoka 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Farao alipoona kwamba kitulizo kilikuwa kimetokea, akaufanya moyo wake uwe mgumu;+ naye hakuwasikiliza wao, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+ Zaburi 106:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Akawakomboa mara nyingi,+Lakini wao wakawa wakijiendesha kwa uasi katika mwendo wao wa kutokutii,+Nao wakashushwa kwa sababu ya kosa lao.+ Methali 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana uasi+ wa wasio na uzoefu utawaua wao,+ na kutojali kwa wajinga kutawaangamiza wao.+
15 Farao alipoona kwamba kitulizo kilikuwa kimetokea, akaufanya moyo wake uwe mgumu;+ naye hakuwasikiliza wao, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+
43 Akawakomboa mara nyingi,+Lakini wao wakawa wakijiendesha kwa uasi katika mwendo wao wa kutokutii,+Nao wakashushwa kwa sababu ya kosa lao.+