11 “Wamoabu wamekuwa wakistarehe tangu ujana wao,+ nao wanaendelea bila usumbufu juu ya machicha+ yao. Nao hawajamiminwa kutoka chombo kimoja ndani ya chombo kingine, nao hawajaenda uhamishoni. Ndiyo sababu ladha yao imesimama tuli ndani yao, na harufu yao haijabadilika.
5 “ ‘Kwa hiyo kumbuka umeanguka kutoka wapi, nawe utubu+ na kufanya yale matendo ya mwanzoni. Usipofanya hivyo, mimi ninakuja kwako,+ nami nitakiondoa kinara chako cha taa+ kutoka mahali pake, usipotubu.