Zaburi 123:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nafsi yetu imeshiba sana dhihaka ya wale wanaostarehe,+Dharau la wale wenye kiburi.+ Methali 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana uasi+ wa wasio na uzoefu utawaua wao,+ na kutojali kwa wajinga kutawaangamiza wao.+